Kizz Daniel ashikiliwa kituo cha Polisi Oysterbay

Kizz Daniel.

Staa wa muziki barani Afrika kutokea nchini Nigeria, Oluwatobiloba Daniel Anidugbe maarufu kama Kizz Daniel amekamatwa na jeshi la polisi nchini siku ya leo, baada ya kushindwa kutumbuiza katika tamasha alilopaswa kutumbuiza usiku wa kuamkia leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS