Kizz Daniel ashikiliwa kituo cha Polisi Oysterbay
Staa wa muziki barani Afrika kutokea nchini Nigeria, Oluwatobiloba Daniel Anidugbe maarufu kama Kizz Daniel amekamatwa na jeshi la polisi nchini siku ya leo, baada ya kushindwa kutumbuiza katika tamasha alilopaswa kutumbuiza usiku wa kuamkia leo.