‘Panya road’ 100 wakamatwa Temeke

Mkuu wa Wilaya wa Temeke, Jokate Mwegelo

Mkuu wa Wilaya ya Temeke Jokate Mwegelo amesema ndani ya siku mbili zaidi ya wahalifu 100 wamekamatwa wakiwemo vijana wanaojiita ‘panya road’ ambao wamekuwa wakijihusisha na vitendo mbalimbali vya uhalifu wa kuvamia nyumba na kupora mali pamoja na kuwajeruhi watu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS