RUWASA waagizwa kuwasimamia wakandarasi

Hilary Sagara, Kaimu Katibu Tawala Wilaya ya Morogoro

Wakala wa usambazaji maji na usafi wa mazingira vijijini RUWASA Wilaya ya Morogoro imeagizwa kuhakikisha inawasimamia kikamilifu wakandarasi wanaotekeleza miradi nane ya maji yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 30 wilayani hapo ili ikamilike kwa wakati.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS