Wavuvi watatu wapotea Feri Dar es salaam

Ukosefu wa vifaa vya kisasa vya kuvulia samaki kwa wavuvi katika eneo la soko la samaki la Feri hasa katika kipindi hiki cha msimu wa baridi kumedaiwa kusababisha  wavuvi watatu kupotea baharini ndani ya kipindi cha mwezi wa  sita na mwanzoni mwa mwezi wa saba mwaka huu

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS