Uwekezaji kwenye Nishati wazidi kuimarika Makamu wa pili wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman amesema hatua ya serikali kuboresha mazingira ya uwekezaji imesaidia kuvutia Kampuni 89 kutoka nje ya nchi kuja kuwekeza kwenye sekta ya Nishati Read more about Uwekezaji kwenye Nishati wazidi kuimarika