Jela kwa kujinufaisha kingono kupitia mtoto

Jengo la Mahakama ya wilaya ya Lindi

Mahakama ya wilaya ya Lindi, imemhukumu mkazi wa Kijiji cha Navanga, Halmashauri ya Mtama kutumikia kifungo cha miaka 20 gerezani, baada ya kukutwa na hatia ya kujinufaisha kingono kwa mtoto mwenye umri wa  miaka mitatu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS