Waziri Aweso awapa tahadhari Wakurugenzi
Waziri wa maji Jumaa Aweso amesema atawachukulia hatua wakurugenzi wa mabonde ya maji nchini wanaokaa ofisini na kushindwa kwenda kutoa elimu kwa wananchi juu ya utambuzi na uhifadhi wa vyanzo vya maji ili kusaidia kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi