Waziri Aweso awapa tahadhari Wakurugenzi

Waziri wa maji Jumaa Aweso

Waziri wa maji Jumaa Aweso amesema atawachukulia hatua wakurugenzi wa mabonde ya maji  nchini wanaokaa ofisini na kushindwa kwenda kutoa elimu kwa wananchi juu ya utambuzi na uhifadhi wa vyanzo vya maji ili kusaidia  kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS