"Mafuta ya kula yameshuka bei" - Rais Samia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema kwamba waziri wa Kilimo Hussein Bashe, amefanya kazi nzuri iliyopelekea bei ya mafuta ya kula nchini kushuka. Read more about "Mafuta ya kula yameshuka bei" - Rais Samia