Wafuasi wa CHADEMA waachiwa huru Katavi

Aliyekuwa diwani wa Kata ya Isengule Mkoani Katavi Ocsar Sangu na wenzake watano ambao ni wafuasi wa CHADEMA waliokaa mahabusu kwa miaka minne wameachiwa huru baada ya kubainika hawana hatia

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS