"Ruto hakuna haja ya kusema nataka kukuua" -Uhuru

Kushoto ni Rais Uhuru Kenyatta, na kulia William Ruto

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, amemuambia  William Ruto, kwamba hana haja ya kuwaambia watu kuwa anataka kumuua na kusema yeye amekuwa akimtukana Kenyatta kwa takribani miaka mitatu na hajawahi kumgusa na kumtaka auze sera zake na aachane naye.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS