Wafanyabiashara Stendi ya JPM wapunguziwa kodi
Wafanyabiashara katika kituo cha Mabasi cha Dkt. John Pombe Magufuli Jijini Dar es Salaam, wamesema hivi sasa wanaunafuu wa gharama za upangaji katika jengo la kituo hicho kwakuwa gharama ya pango imepungua kutoka Sh. 160,000 hadi kufikia 90,000 kwa baadhi ya wafanyabiashara.

.jpeg?itok=nQrVdAyU)