Wachezaji EPL waweka kiwango cha kupiga goti

Erling Haaland wa Manchester City na Trent Alexander-Arnold wa Liverpool wakiwa wamepiga goti kabla ya mchezo wa ngao ya jamii.

Wachezaji wa vilabu vya ligi kuu ya Uingereza wamekubaliana kusitisha rasmi ishara ya kupinga ubaguzi wa rangi kwa kupiga goti katika kila mchezo wa ligi hiyo kuanzia msimu mpya utakao anza ijumaa wiki hii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS