Watu 54 wathibitika kuugua Surua nchini

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema kwamba kuna ongezeko la wagonjwa wa Surua nchini, ambapo sampuli zilizochukuliwa kwa ajili ya uchunguzi wa ugonjwa wa Surua zimeonesha halmashauri 7 zina mlipuko wa ugonjwa huo na kufanya waliothibitishwa na ugonjwa huo kuwa ni 54.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS