Tanzania na Zambia kurejesha undugu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Rais wa Zambia Hakainde Hichilema

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema kwamba wamekubaliana na Rais wa Zambia Hakaiende Hichilema, kurejesha undugu ulioasisiwa na waasisi wa mataifa hayo mawili Hayati Nyerere na Hayati Kaunda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS