Esma Platnumz Amshauri Msanii Wa Nandy Pichani Ni Esma Platnumz na Yammi Dada wa msanii Diamond Platnumz Esam Platnumz ameamua kumshauri msanii kutoka label ya The African PrincessYammi Tz kuwa ni muimbaji mzuri lakini kitu kinacho muangusha ni performance zake stejini. Read more about Esma Platnumz Amshauri Msanii Wa Nandy