SBT watoa msaada kwa wanafunzi 20 mwaka mzima
Kampuni ya SBT inayojihusisha na kuagiza magari kutoka nchini Japan wamechangia taulo za kike pakiti 240 kupitia kampeni ya Namthamini siku ya leo ambazo zitakwenda kuwasaidia wanafunzi 20 shuleni kwa mwaka mzima.