SBT watoa msaada kwa wanafunzi 20 mwaka mzima

Wafanyakazi wa SBT wakikabidhi taulo za kike katika ofisi za East Africa TV na East Africa Radio.

Kampuni ya SBT inayojihusisha na kuagiza magari kutoka nchini Japan wamechangia taulo za kike pakiti 240 kupitia kampeni ya Namthamini siku ya leo ambazo zitakwenda kuwasaidia wanafunzi 20 shuleni kwa mwaka mzima.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS