Wakuu wapya mikoa 9 wateuliwa, wengine watenguliwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa wakuu wa mikoa wapya tisa na kuwahamisha vituo vya kazi wakuu wa mikoa 7 na wengine 10 kubakia kwenye nafasi zao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS