Hakimu agoma kujitoa kesi ya Zumaridi
Hakimu anayeendesha kesi inayomkabili Mfalme Zumaridi, na wafuasi wake nane ya kujeruhi askari na kumzuia afisa ustawi kutekeleza majukumu, amegoma kujitoa kwenye kesi hiyo baada ya kudai kuwa hakuna sababu ya msingi ya kuacha kuendelea na shauri hilo hivyo akataka shauri hilo liendelee.