Waziri Nape mgeni rasm pambano la Kidunda Songea

Waziri wa Habari na Teknolojia Nape Nnauye

Waziri wa Habari na Teknolojia Nape Nnauye anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika pambano la Pay Back Night Songea linalotarajia kupigwa Julai 30, mwaka huu kwenye Uwanja wa Majimaji uliopo mjini hapa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS