Polisi Tanzania watoa onyo mgomo wa madereva

Kamishna wa Operesheni na Mafunzo CP Awadhi Juma Haji

Jeshi la Polisi nchini limetoa onyo kwa baadhi ya madereva wa magari makubwa ya mazigo  wanaohamasisha mgomo wa madereva ili kuzuia magari mengine yasifanye shughuli za usafirishaji kwa kisingizio cha madai ya haki zao wanazodai kutoka kwa waajiri wao kutokuwalipa posho zao

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS