Serikali iangalie watoto wa kike - Lugangira
Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Mhe. Neema Lugangira siku ya jana Julai 25, 2022 akiwa katika ofisi za East Africa Television na East Africa Radio alizungumza kuhusiana na kampeni ya Namthamini na juhudi zake katika kuwasaidia wanafunzi wa kike nchini waweze kupata taulo za kike za kujistiri