Mbeya kujenga mnara wa Mashujaa

Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Juma Homera

Halmashauri ya Jiji la Mbeya, imepewa miezi mitatu, kujenga mnara wa Mashujaa wa Tanzania waliofariki kwenye vita ya Pili ya Dunia mwaka 1939/1945 na kuandika majina ya mashujaa hao ili kuweka kumbukumbu sahihi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS