Sungusungu wapigwa marufuku kupiga wananchi

Jeshi la Polisi mkoa wa Tabora  limepiga marufuku  hatua ya walinzi wa jadi maarufu kama Sungusungu kukamata wahalifu na kuwashushia vipigo vizito ambavyo wakati mwingine vimekuwa vikiwapelekea kupoteza maisha kabla ya kufikishwa mikononi mwa Polisi

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS