Ng'ombe wanaofugwa kwa stress wana nyama ngumu

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila amewataka wadau wa mifugo kutoa elimu ya ufugaji bora kwa wafugaji ili kuwawezesha kufanya ufugaji wa kisasa ambao utaepusha ng'ombe kutembea umbali mrefu kutafuta malisho na kusababisha nyama yake kuwa ngumu

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS