Simba yatambulisha beki mpya

Beki wa kati, Mohammed Ouattara kutoka Klabu ya Al Hilal ya Sudan.

RASMI leo Julai 22 Simba imemtambulisha beki mpya ambaye atakuwa kwenye kikosi chao kwa msimu wa 2022/23 katika mashidano ya kitaifa na kimataifa akichukua mikoba ya Pascal Wawa ambaye aliachwa rasmi na Simba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS