"Kuna Mapapa wanadhamini uhalifu mgodini" - Hapi Mkuu wa mkoa wa Mara Ally Hapi Mkuu wa mkoa wa Mara Ally Hapi, amewaonya baadhi ya viongozi ambao wamekuwa wakiyawezesha makundi ya vijana kuvamia na kupora mawe ya madini ndani ya mgodi wa dhahabu wa Barrick North Mara. Read more about "Kuna Mapapa wanadhamini uhalifu mgodini" - Hapi