Dkt. Biteko ataka maeneo ya madini yaendelezwe
Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko ametoa agizo kwa wawekezaji katika Sekta ya Madini kuendeleza maeneo yao yenye madini ya kimkakati badala ya kuyaacha bila kuyaendeleza suala linalopelekea wenye nia ya kuwekeza kukosa fursa hiyo