Subira Mitimingi awapigania wanafunzi 14 shuleni
Leo ndani ya ofisi za East Africa TV na East Africa Radio kulikuwa na baraka ya wageni kutoka kanisa la Warehouse Christian Centre (WCC), wakiongozwa na Askofu Subira Mitimingi ambapo wamechangia taulo za kike Pakiti 160 kwa ajili ya kampeni ya Namthamini.