Mwalimu atuhumiwa kulawiti wanafunzi wanne

Kizimbani

Mwalimu wa shule ya msingi Kyawazaru Idrisa Athumani (29) mkazi wa wilayani  Butiama mkoani Mara, amepandishwa kizimbani kwa tuhuma za ulawiti wa wanafunzi wanne katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Musoma na kusomewa mashtaka manne kwa mahakimu wanne wa Mahakama hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS