Dkt. Mpango atoa maagizo kwa IGP Wambura

Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango, akizungumza na IGP Camillius Wambura

Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango, amemuagiza IGP Camillius Wambura, kuangazia malalamiko yote yanayotolewa na wananchi kwa jeshi la polisi na kuwachukulia hatua askari wachache wanaoharibu taswira ya jeshi hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS