Washindi jumuiya ya madola waahidiwa zawadi nono

Msafara wa Tanzania kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola umeagwa,

Serikali imetenga kitita cha dola elfu 22,000 zaidi ya Sh 50 Milioni kwa wanamichezo watakaotwaa medali ya fedha, dhahabu, na shaba kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola inayotarajiwa kuanza tarehe 28 Julai hadi 08 Agosti, 2022 nchini Uingereza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS