Maonesho ya wafanyabiashara mkoa wa Mara

Mwenyekiti wa Chemba ya wafanyabiashara (TCCIA) Boniphace Ndengo

Zaidi ya makampuni 500 kutoka ndani na nje ya nchi yanatarajiwa kushiriki  katika maonyesho ya kimataifa ya biashara ya Mara International Business Expo yatakayofanyika mkoani Mara mwezi Septemba mwaka huu huku wafanya biashara zaidi ya 5000 wakitegemewa kushiriki maonyesho hayo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS