Wanne wajeruhiwa ajalini Morogoro, chanzo chatajwa
Watu wanne wamejeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyotokea eneo la Mkambalani wilayani Morogoro, ikihusisha basi la Happy Nation lenye namba za usajili T 702 DGF likilokuwa linatokea Dar es Salaam kuelekea Bukoba na lori la mizigo lililokuwa linatoka Zambia kwenda Dar es Salaam.