Aliyemuua mke wake Dar akamatwa
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limemkamata Selemani Malima Mkazi wa Keko Mwanga kwa tuhuma za mauaji ya mke wake Husna Majaliwa aliyekuwa mkazi wa Goba kwa Awadhi kwa kumchoma na kitu chenye ncha kali tumboni