Morocco kuumana na Afrika kusini Fainali WAFCON

Wenyeji wa michuano ya WAFCON 2022 timu ya taifa ya wanawake ya Morocco

Timu ya taifa ya Afrika kusini wamepata ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Zambia na kutinga hatua ya fainali ya michuano ya mataifa huru ya Afrika ya Wanawake 'WAFCON' kwa goli liliofungwa na Linda Motlhalo kwa mkwaju wa penati katika dakika ya 90.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS