Madalali wachangishana kujenga kituo cha afya

Mdalali wa Kata ya Iwungilo

Umoja wa madalali zaidi ya 30 wa Kata ya Iwungilo, Halmashauri ya Mji Njombe, wameamua kuchangia ujenzi wa kituo cha afya ambacho kinatarajia kuanza ujenzi wake mapema mwezi huu ili kuwanusuru wananachi ambao mpaka sasa wanafuata huduma umbali mrefu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS