Mavunde ataka wakulima kupewa elimu

Naibu Waziri wa Kilimo  Anthony Mavunde

Naibu Waziri wa Kilimo  Anthony Mavunde ameitaka Taasisi ya Utafiti Kilimo (TARI) na wadau wengine wa kilimo kutoa elimu ya matumizi sahihi ya mbolea ili kumsaidia mkulima wa Tanzania kulima kwa tija

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS