Mwalimu mbaroni kwa kumbaka mwanafunzi wake

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kigoma Ramadhan Kingai

Asafu Raphael Lutebuka ambaye ni mwalimu wa shule ya msingi Nyamgeni iliyopo Kijiji na kata ya Nguruka Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma, amekamatwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kuhusika na vitendo vya ubakaji kwa mwanafunzi wake wa  darasa la sita 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS