Walalamika kukosa nafasi soko la Mwanga Kigoma

Wanawake Wajasiriamali zaidi ya 100 waliokuwa wanafanya biashara ndogo ndogo za kuuza mboga mboga, matunda na Samaki katika soko la Mwanga Manispaa ya Kigoma Ujiji, wamelalamikia uongozi wa Manispaa hiyo kwa kukosa nafasi katika soko jipya

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS