Serikali kuanzisha ufadhili wa masomo ya sayansi

Serikali kupitia Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia ipo kwenye hatua za mwisho za kuanzisha ufadhili wa masomo ya sayansi (SAMIA SCHOLARSHIP) kwa wanafunzi wenye ufaulu mzuri kwakuwa Rais tayari  ametoa fedha nyingi zinazoweka msukumo wa masomo ya sayansi kwa wanafunzi wote Tanzania

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS