Waliohamia Msomera awamu ya nne wapokelewa

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia (Sera, Bunge na Uratibu) Bw. Kaspar Mmuya akikabidhi hati miliki ya maeneo kwa ajili ya makazi na mashamba kwa wananchi waliowasili katika eneo la Msomera Wilayani Handeni Mkoa wa Tanga .

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Bw. Kaspar Mmuya amewashukuru wananchi waliohamia katika Kijiji cha Msomera awamu ya nne huku wakionesha furaha yao kwa kuanza maisha mapya ya katika kijiji hicho

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS