Dar ya sita kwa usafi barani Afrika

Sanamu la Askari Dar es Salaam

Rais Samia amesema kwamba jarida la Africa Tour Magazine, limelitangaza jiji la Dar es Salaam, ni Jiji la sita kwa usafi barani Afrika, ambapo katika utambulisho wake akatumia nafasi hiyo kumpongeza Mkuu wa mkoa huo kwa kusimamia usafi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS