Mkurugenzi Dar na wengine tisa wasimamishwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam, Bw. Jumanne Shauri pamoja na watumishi wengine tisa wa jiji hilo ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za ubadhirifu  wa fedha za Serikali ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 10

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS