Bodi ya maji bonde la Wami Ruvu yatoa mifuko 50

Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki Hamis Taletale, akipokea mifuko ya saruji iliyotolewa na Bodi ya Maji ya bonde la Wami Ruvu

Bodi ya Maji ya bonde la Wami Ruvu wametoa msaada wa mifuko ya saruji 50 kwa shule ya msingi Kidunda iliyopo Kata ya Mkulazi, Halmashauri ya wilaya ya Morogoro. Msaada wa mifuko hiyo ni kutelekeleza agizo la Waziri wa Maji Jumaa Aweso, alilotoa alipofika katika Kijiji hicho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS