Watano wafariki ajalini Mbeya
Watu watano wamefariki dunia papo hapo na wengine ambao idadi yao bado haijafahamika kurejeruhiwa baada ya Lori la mizigo lililokuwa limesheheni magunia ya mahindi likitokea mkoani Songwe kuelekea jijini Dar es Salaam kufeli breki na kuligonga basi dogo la abiria aina ya Costa