Mwasiti atoa wito kwa Nandy na Zuchu

Mwasiti akiongea kwenye kipindi cha Mama Mia cha East Africa Radio siku ya leo.

Staa wa bongo fleva, Mwasiti Almasi leo alifika katika ofisi za East Africa TV na East Africa Radio na kukabidhi mchango wa taulo za kike pakiti 72 kupitia kampeni ya Namthamini ambazo zitakwenda kusaidia wanafunzi 7 shuleni kwa mwaka mzima.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS