Manchester United yafanya usajili wa kwanza

Tyrell Malacia amejiunga na Manchester United kwa mkataba wa miaka 4

Klabu ya Manchester United imekamilisha na kutangaza usajili wa beki wa kushoto Tyrell Malacia kutoka klabu ya Feyenoord ya Uholanzi kwa ada ya uhamisho iya pauni milioni 12 zaidi ya Bilioni 33 kwa pesa za kitanzania amesaini mkataba wa miaka 4.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS