"Sikupanga kubakia madarakani." - Rais Kenyatta Rais wa Jamhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amekiri kuwa alikuwa tayari kujiondoa katika kinyang’anyiro cha urais baada ya Mahakama ya Juu kufutilia mbali ushindi wake wa Agosti 9, 2017. Read more about "Sikupanga kubakia madarakani." - Rais Kenyatta