Wahukumiwa miaka 70 kwa wizi wa mifugo Watu sita ambao ni majambazi sugu wa mifugo wamehukumiwa kifungo cha miaka 70 jela kwa kosa la unyanganyi wa kutumia silaha aina ya bunduki na mapanga katika mahakama ya wilaya ya Tarime Mkoani Mara. Read more about Wahukumiwa miaka 70 kwa wizi wa mifugo