Watano wafariki ajalini Tabora

Basi lililopata ajali

Watu watano wamefariki dunia katika ajali ya basi la kampuni ya Sasbosa, ambayo imetokea Julai Mosi, 2022, katika Kijiji cha Mabangwe wilayani Sikonge, ambalo lilikuwa likitokea mkoa wa Mbeya kwenda mkoani Tabora.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS