Maduka yateketea kwa moto Njombe

Sehemu ya maduka yaliyoungua

Takribani maduka sita yameketea kwa moto usiku wa kuamkia leo Julai 17, 2022, katika eneo la National Housing Njombe mjini na kusababisha hasara kubwa kwa wafanyabiashara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS